Sunday, April 28, 2013

BABA WA CHRIS HATAKI KUMUONA MWANAE NA RIHANNA.

0428_Chris-Brown-and-Rihanna_gettyBaba wa Mwanamuziki Chris Brown ameeleza kuwa ana hisia sawa na waamerika wengine  linapokuja suala la mwanae kutoka na Rihanna   -- kwamba haikutakiwa wawe wameuidiana.

Katika mahojiano na New York Daily News  Clinton Brown baba wa Chris Brown alisema kwamba "anauelewa mvuto wa chris kwa rihanna wanapendeza kivyao.lakini binafai sitaki wawe pamoja tena" while he understand CB's attraction to RiRi, they are better off on their own. He told the paper, "I personally really didn’t want him and Rihanna back together."

Mkubwa huyo wa chris alieachana na mama ake chris,Chris akiwa na miaka 6 anafikairia kwamba couple hii haiko proper kuwa na strong relationship.


No comments:

Post a Comment