Saturday, April 27, 2013

PICHA TOFAUTI ZIKIMUONESHA DIAMOND AKIWA UINGEREZA.


Napenda kumshukuru mungu kwa siku ya leo.......
Jumamosi mwanana.....nikiwa mbali na uso wa nyumbani,
nikiwa ugenini kutafuta riziki......Shukrani za pekee
pia kwenu mashabiki zangu wa dhati....mahana
bila nyinyi si Mimi.....Nashukuru mungu kwa ulinzi wake...
nipo salama salimini kwenye jiji
la Malkia elizabeth....nashukuru uongozi mzima kwa
mapkezi mazuri na huduma nzuri mimi
na dancers wngu.......!!

Nashukuru mungu kwa brekfast mwanana niliyopata na
kunifanya nijiskie mwenye hari zaidi...
kabla ya kuanza kukatiza mitaa ya jiji ili leye watu z
aidi ya maelfu ya wanachi wanaotokea
nchini mbalimbali duniani....!!
Nikiwa na dancers wangu....,my oung brother...
Mose Iyobo.....around headin to town...
au vp bhana.... tuki refresh mind kabla ya kibarua
kizito baadae nighyt siku ya leo
tarehe 27 april...!!
For more Info Stay connected na Blogsite yako
ya kijanja ya This is Diamond
kwa update zangu na za kijanja zaidi....
Hapa tukiwa tumemaliza kupata chakula cha mchana......
with my bwoy Dumi utamu
n mose iyobo......

    No comments:

    Post a Comment