Tuesday, April 30, 2013

RAISI WA ALGERIA HOI

Abdelaziz-Bouteflika

Afya ya Rais wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika, imekua mbaya hadi kusafirishwa Paris nchini ufaransa kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa wa kiarusi.
Taarifa rasmi zinaeleza kuwa Jumamosi alipata ugonjwa wa kiarusi kidogo lakini haifikiriwa afya yake itaathirika kwa muda mrefu.
Hata hivyoimeripotiwa na Waziri Mkuu wa Algeria kuwa hali ya Rais huyo siyo mbaya kwasasa. Taarifa rasmi ilieleza kwamba alikuwa na kidonda cha tumbo lakini nyaraka za siri za wana

    No comments:

    Post a Comment