Saturday, April 27, 2013

Nikionakufuli tu jogoo anawika nifanyaje kupata dawa?


Mimi ni mwanaume rijari nimekamilika kila idara,ila nikiwaona mademu wakikaa Vibaya na kuonyesha makufuli au akiwa amevaa suruali alafu ainame bahati mbaya kufuli ionekane basi jogoo langu linawika na linahitaji na siku hiyo lazima nitafute demu hata kama ni malaya  je wapi ntapata dawa ya kutuliza huu mzukaa?

No comments:

Post a Comment