Monday, April 29, 2013

LEMA APATA DHAMANA

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akitoka mahakamani baada ya kupata dhamana jana (Jumatatu). Mbunge huyo alikaa rumande kwa takriban siku 14 baada ya kukataa dhamana ikiwa ni njia ya kuonyesha kutoridhishwa kwake na vitendo vya vyombo vya dola kumuandama. PICHA/ FILBERT RWEYEMAMU

No comments:

Post a Comment