Friday, April 5, 2013

MKE WA MTU AFUMANIWA GEST - CHALINZE AKITOA PENZI KWA RAFIKI WA MUMEWE.....


TIMBWILI la aina yake  liliibuka  hivi  karibuni   katika  nyumba  ya  kulala  wageni  maeneo  ya  Chalinze Bagamoyo kufuatia mumewe aliyefahamika  kwa  jina  la  Abuu  kumnasa  mkewe  akiliwa  uroda  na  rafiki  yake  wa  karibu  aliyefahamika  kwa  jina  la  Benard Celestin....

Tukio hilo  la  aibu  lilitokea saa 11:00 alfajiri  ya   tarehe  27  march   mwaka  huu baada  ya  mumewe  kuweka  mitego  mikali  iliyopelekea  kumnasa  live  mkewe  akipewa  mambo  na  rafiki  ya  mumewe.....

Kabla ya fumanizi hilo, mumewe  aliaga  anaenda Dar.Mkewe  alimsindikiza  mpaka  stendi  huku  akiwa  na  furaha  tele.....

Jamaa  alishukia  njiani  na  kurudi  kinyemela.....Za  mwizi  arobaini, mida ya  saa  saba  usiku,Gari  lenye rangi  nyeupe   lilitua  nyumbani  kwa  jamaa  na  kushuhudia  mkewe  akitoka  nje  na  kupanda  ndani  ya  gari  hilo.........

Mumewe  pamoja  na  kundi  zima  la  waandishi  wa Udaku-GPL walianza  kulifuatilia  mpaka  walipofanikiwa  kumnasa mwanamke  huyo  na  rafiki  wa  mumewe.....

No comments:

Post a Comment