Thursday, April 25, 2013

KAMA HUAMINI PESA NDIO KILA KITU SOMA HAPA


chika ike

Chika Bila make up
Ama kweli pesa ni kila kitu na hili limedhihirishwa na mmoja wa waigizaji mahiri wa filamu za Nollwood nchini Nigeria Chika Ike ambaye ameamua kunyoa upara ili kutimiza sharti la malipo ya Naira Million 5 anazotaraji kulipwa atakapocheza movie mpya akiwa hivyo.
Chika2
Chika akiwa na make up
Ni hivi karibuni dashosti huyo aliposti kwenye mtandao akionyesha hundi ya kiasi hicho cha Naira millioni 5 ambazo ametakiwa kulipwa kwa ajili ya kuigiza filamu hiyo mpya.

No comments:

Post a Comment