Wednesday, May 22, 2013

P-funk Majani anaamini Profesa anaweza kuwa mbunge baada ya kujiunga na CHADEMA

 

Jana ilikuwa ni siku nzuri kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kumpokea mwanachama mpya Joseph Haule a.k.a Profesa Jay aliyekabidhiwa kadi ya Chama na mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na John Mnyika.
...Read Full Story »

No comments:

Post a Comment