Thursday, April 25, 2013

LULU AINGIA KATIKA SKENDO HII MPYA, SOMA MCHEZO MZIMA HAPA. KAMA NI KWELI LULU AJIHADHARI!

NAHISI HII NDO ITAKUA SKENDO YA KWANZA INAYOMHUSU LULU BAADA YA KUTOKA SELO. LEO KATIKA PITA PITA YANGU NIMEPITA KATIKA WEBSITE YA SINTAH NA KUKUTANA NA POST YENYE KICHWA CHA HABARI "THE RETURN OF HOTLULU" KAMA ILIVYOANDIKWA NA SINTAH MWENYEWE. SO KA ROHO KAKANITUMA NISOME COMMENTS. KI UKWELI COMMENTS NYINGI ZILIKUA NI ZA KUMPONDA SINTAH BUT NIKAKUTANA NA COMMENT MOJA ILIYOTOLEWA NA MTU AMBAYE HAKUTAKA JINA LAKE LITAJWE IKIWA NA MAONI HAYA


" Sintah for sure mwambie huyu mtoto akae mbali na BONITA atamuharibia dakika moja. Jana nilipita pale nje maeneo ya deMage hotel kwenye duka uchwara la BONITA, nkaona gr la Lulu na kuna gr lingine la mvulana fulani mtoto wa daaud kanyau aitwae POnchi. Nimejua tu nn kinaendelea mule ndan,.baada ya dk kadhaa Lulu alitkoka ndn ya duk Nawakaingia kwny gari la ponchi wakaongea humo then ponchi akaondoka. Plz, plz plz plz naomba awe makini ikibd akae mbali sana n BONITA. BONITA ni kuwadi mkubwa sana. Ilimradi yy apate pesa hajali mtoto wala mkubwa. Ntafatulia hii inshu nikupe zaid yalio jiri. I love lulu kipindi hiki awe makini"

No comments:

Post a Comment