Saturday, May 18, 2013

kaka Diamond akanusha Kuiwakilisha Tanzania Kwenye Shindano la Big Brother Africa Mwaka Huu

Roomy Jones Ambae ni Binamu wa Diamond na pia ni Mtangazaji wa Clouds ilisemekana ndio atake iwakilisha Tanzania katika Shindano la Mwaka huu la Big Brother na kuandikwa sana na vyombo vya habari hasa blogs ..Including me ....Jana aliongea akasema yeye hana taarifa zozote kuhusu kuhusika kwake katika Shindano hilo japo alishiriki katika Mchakato wa kumtafuta mshiriki toka TZ ....Imebaki week moja shindano lianze so Its obvious Sio yeye Atakaye Iwakilisha Tanzania Kama mpaka sasa Hajapigiwa Simu na Multi Choice...So guys lets Wait for 26 of May shindano litakapoanza kumjua Mwakilishi wa TZ....

No comments:

Post a Comment