Saturday, May 18, 2013

NEY WA MITEGO KUITWA BABA HIVI KARIBUNI, HUYU NDO MAMA KIJACHO WAKE. MCHEKI HAPA

So much is happening in the Bongo Flava scene!! TID anataka kuoa, Nurah anatarajia kufunga ndoa June 8 na sasa Nay wa Mitego naye anategemea kuitwa baba, basi raha tupu!!b89c11b6b7ab11e286be22000a9f139c_70bb7758abce711e2935222000a1fb825_7
Kupitia Instagram Nay aka True Boy ambaye hivi karibuni amekuwa dhahabu kwenye show za promotion za makampuni ya simu, amekuwa akishare picha za msichana ambaye kwa mujibu wake ni ‘Mama Kijacho Wake’. “Mic u mama kijacho wanguuuuuuuu…” aliandika hivi karibuni kwenye picha ya msichana huyo.

No comments:

Post a Comment