Wednesday, May 22, 2013

Rihanna haitaji kuliziba pengo la Chris Brown kwa sasa, ‘She’s not thirsty’

 

The Diamonds hit maker Rihanna anahitaji nafasi na muda wa kutosha kufanya mambo yake kivyake baada ya kuachana na Chris Brown.

Kwa mujibu wa Hollywoodlife rafiki wa karibu wa mrembo huyo amesema hajafocus katika kutafuta boyfriend ama mtu yeyote kwa kuwa hana
...Read Full Story »

No comments:

Post a Comment