Wednesday, May 22, 2013

Roma mkatoliki ampigia debe Fid Q kwenye tuzo za Kili



Mshindi wa tuzo za kili kwa mwaka jana Roma Mkatoliki anaefanya kazi zake nyingi Tongwe Records chini ya Producer J-Ryder, amempigia debe mkali wa mashairi na flow toka Rock City Mwanza Fid Q ili aweze kuchukua tuzo kadhaa za muziki zinazotolewa na Kilimanjaro (Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013).

No comments:

Post a Comment