Wednesday, May 22, 2013

TAZAMA JINSI FLAVIANA MATATA ALIVYOSHIRIKI MISA YA KUWAKUMBUKA WAHANGA WA AJALI YA MV BUKOBA.



flaviana na babaake
Flaviana Matata akiwa na Baba yake mzazi katika Misa ya maombolezo ya Ajali ya MV Bukoba ambapo Flaviana alimpoteza Mama yake mzazi, Igoma,Mwanza
flaviana
Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya kuomboleza katika Makaburi ya Igoma Mwanza walikozikwa baadhi wananchi walopoteza maisha yao miaka 17 iliyopita.
Gonga continue reading kuendelea..

waombelezaji
Flaviana Matata akiwa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment