Wednesday, May 22, 2013

VURUGU ZA MTWARA ZASABABISHA BUNGE LIAHIRISHWE....!!


Spika wa bunge , Anne Makinda ameahirisha Bunge kutokana na hali ya Mtwara na ameiagiza serikali kuwa kesho wawasilishe taarifa bungeni kuhusiana na hali hiyo.

Makinda ameitisha kamati ya uongozi ili kuona kama wanaweza kutuma kamati ya Bunge kesho kwenda huko.

No comments:

Post a Comment