Wednesday, May 1, 2013

Ubakaji huu wa mke umenitia minyororo ya majuto kila kukicha

       Kisa hichi ni changu binafsi kinachoninyong'ochesha kila uchwao. Najua nakosea kukileta hapa kwenye but nimejipanga kukosea.

    Nimeoa miaka mitano iliyopita nikiishi kwa mizunguko ya kimaisha hapa na pale almost ndani ya mwaka ni karibu miezi sita tu ndio nakuwa na familia yangu, kila kitu kikiwa sawia kabisa katika familia yangu isipokuwa jambo moja tu nalo ni tendo la ndoa. Mwaka mmoja baada ya kufunga ndoa mwenzi wangu amekuwa halipi umuhimu sana tendo hili na siku zilivyozidi kwenda ndo kabisa jambo hili linakuwa tatizo as tofauti na mie hili kwangu ni zaidi ya chakula na hata nikilipata kila siku nitalitumikia ipasavyo. Ni muda sasa umepita na uvumilivu umefikia mahali pa kushindikana nikichoshwa na kitu kinaitwa "ratiba ya mapenzi". Naita ratiba nikimaanisha kuwa katika kila wiki inayopita nitaambulia chakula hichi cha ndoa only once nikikariri zaidi jumamosi as siku nyingine hata nifurukute vipi nitaambulia kipepsi. Swala hili limepelekea kuibuka kwa hasira za mara kwa mara hata mahali panapohitajika uvumilivu kidogo tu katika mambo ya kawaida. Nimejaribu kufanya mazungumzo mara kibao nikielezea hisia zinazonikabili na kufikia muafaka wa kulifanyia kazi jambo hili na mara mbili tatu naweza kuona mabadiliko kidogo kwa yeye kunitaka mwenyewe kulifanya tendo la ndoa japo kwa single shot lakini sas imefika mahali pa kukata tamaa ya kuliongelea tena.

    Now shida inakuja hapa. Tulalapo huwa sipati usingizi wa maana bila kumkumbatia mke wangu, ninaposhtuka usiku, ule tu mgusano huwa unaamsha hisia kali za mapenzi, ukizingatia response ninayoipata pale jaribio la kuchombeza linapofanyika na kupata majibu hasi,..basi naishia kukumbatia hadi nashusha mzigo bila hata kupewa chakula chenyewe, na mara nyingi huwa nakuwa nimemchafua mwenzangu pale ambapo mjomba anakuwa amegusa mwili wake na mara nyingi ni karibu na uke wake. Sasa imekuwa ni kawaida kwa athumani wangu kusindwa kulala hata kama nitasinzia usingizi wa kifo hadi kufikia kushusha mzigo kiasi ambacho imenilazimu kuanza kulala na kataulo kadogo cha kumfuta mwenza asije akaamka na kukutana na mzigo ukiwa umetanda maeneo japo marakadhaa amekuwa akiamka kabla sijabaini mzigo kushuka na kifuatacho kinakuwa ni ugomvi heavy. Siku zilivyozidi kusogea zikiwa na muendelezo uleule wa ratiba za unyumba na makubaliano yasiyotekelezwa sas imefikia kushusha mzigo mara nyingi zaidi hata kama sijasinzia na unaposhuka mara ya pili asumani hujikuta kashapita mlangoni mwa mama watoto mwenyewe kutokana na utelezi wa mzigo wa kwanza.
    Huu ni wazi kabisa ni ubakaji ulionishinda kabisa kuukabili ili usitokee unaopelekea ugomvi mkubwa pale mwenza anaposhituka, na kuambatana na majuto kwangu siku nzima inayofuata. Niseme wazi jambo hili sasa limekuwa la kila siku cha ajabu sasa katika miaka yote minne ni mara mbili tu ndio mwenzangu kanishitukia na kuzua ugomvi huo lakini wakati mwingine wote uliobaki huwa najigombeza mwenyewe kwa kweli kwa kuona sio fea kufanya hivi ila inaibuka hoja nyingine tena pale ninapojilaumu kuwa nifanye nini sasa na mie nazidiwa na kukosa msaada..then nasahau hapohapo kuwa ni makosa kufanya vile.

    Wakati mwingine najiweka kwenye nafasi ya mwanamke na kujiambia ingekuwa ni mie kile kitendo tu cha kuamka usiku na kumkuta asumani wa mume amesimama na kunigusa na joto lake kwa kweli vyote vilivyolala vingeamka ndani yangu kwa msisimko, sijui labda wanawake wa humu mnijuze tofauti katka hili (enyi kina @lara1 Madam B Smile Roulete na wengine) msaada tafadhali.
    Waumini wenzangu msaada tafadhali nitakabiliana vipi na jambo hili ikwa mara hii ya pili kushtukiwa na mwenza imekuwa critical zaidi kwa yeye kutamka wazi kuwa amefeel kubakwa na akasema hajisikii tena kufanya mapenzi, she admited "i hate sex". Nitakuwa mgen wa nani jamani mie mwenzenu??
Salam kwenu waumini wenzangu wa jukwaa hili...

No comments:

Post a Comment