Wednesday, May 8, 2013

HUU NDO USHAHIDI ALIOUTOA SINTAH, KUA KINA NICK MINAJ, LIL KIM NA WENGINE WENGI WANAJICHUBUA. SOMA HAPA

dada yetu huyuuu before n after kudadadeki caro light si bongo tu world wide
chezeya kuwa mweupe weweee
Lil Kim a.k.a Queen B
 atiiii hahaaaa sijui ni jini kisirani
ameingia ktk urembo huu
sio vizuri kusema maiti ila hapa nakufa mbavu wallahiiii
 Michael alikuwa kiboko
RIP The Greatest Ever Wacko Jacko
kumbe hata ma supermodel ruksa kujipiga deki ?
leo nimewakomesha wale wanaowasema wapigaji deki
wa bongo ona sasa majuu
mkorogo ni mkorogo uwe wa buku au wa mil
jambo ni lile lile mkorogooo


hivi una mfananisha na nani hapo bongo dsm maana
dada kajidadavua
eeeh Yesu baba rudiii
 maana huku hakuna anayetaka kuwa ze black

sio wadada tu hata wakaka wamo
 ktk team ileee
ya kujichubua

Leo Team kujichubua mtanipendajeee?? uwiiii yaani nina kufa mbavu yote tisa jamani Nick Minaj alikuwa kama shoro aiiiii, kwakweli wadada wa mujini wale wa jiki na nk kwakweli endeleeni hampo wenyewe, ruksaaaaa.

mkorogo ni mkorogo uwe wa jero ama wa mil #TeamHawasikiiWalaHawaoni ni kujikorogaa kwa kwenda mbeleee.


 ila nini haswa raha ya kujichubua jamani unajua watu watashindwa kushoneka hapa mjini?

No comments:

Post a Comment