Monday, May 13, 2013

Jokate Mwegelo na Denrele kuja na show mpya Channel O

Mrembo Jokate Mwegelo aka Kidoti, anatarajia kuonekana kwenye show mpya ya Channel O akihost pamoja na Denrele wa Nigeria.
Kwa sasa Jokate na Denrele wapo jijini Johannesburg, Afrika Kusini, kushoot show hiyo itakayoanza kuruka June 15.

36fbbc14bbad11e2890a22000a1fbc9a_7

Denrele anajulikana zaidi kwa kuwa rafiki mkubwa wa marehemu Goldie. Akizungumzia kufanya show moja na Denrele, Jokate amesema, “Denrele chizi kama mimi, sema yeye zaidi kidogo so chemistry inakuwa poa tu, high energy on set.
3599141abba911e2bbe722000a9f1253_7
6007080cbba811e2999722000a1fcf03_7
d29d5e2abba811e296f222000a9f4dd8_7
f5af4c7aba4011e2b3da22000aa804fa_7

No comments:

Post a Comment