Thursday, May 9, 2013

Breaking Newzzzzzzzz......!!! SHEIKH PONDA AHUKUMIWA MWAKA MMOJA



Hukumu ya  Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda  imetolewa leo katika mahakama ya kisutu jijini dar es salaam ampapo kahukumiwa kifungo cha nje mwaka mmoja.

No comments:

Post a Comment