Thursday, May 9, 2013

MBUNGE GODBLESS LEMA NA MKUU WA MKOA WA ARUSHA MULONGO USO KWA USO LEO ........... WAONE WALIVYOCHUNIANA


p1 6ed46



photo

Naibu waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyalandu Katikati akiwa na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kushoto na Mkuu wa mkoa wa Arusha Maggesa Mulongo wakati wakikabidhi misaada ya kibinadamu kwa wahanga wa bomu kwenye hospitali ya St.Elizabeth jijini Arusha Leo Asubuhi

No comments:

Post a Comment