Friday, May 10, 2013

NINI MAANA YA UWEKAJI HUU WA MDOMO...? HASA KWA KINA DADA

Mambo  vipi ...!!
Kuna  kitu  kunaniumiza  sana  akilini.....Kinaniumiza  kwa  sababu  kila  nikifikiria  huwa  sipati  jibu.
Kitu  chenyewe  ni  hii  staili  mpya  ya  UWEKAJI  WA   MDOMO  kwa dada  zetu  wakati  wa  kupiga  picha......
Hiyo  staili  yao  ya  "mdomo"  humaanisha  nini???....Je  ni  "Tusi"  flan  au  ni "fasheni"  tu  
Kwa  kweli  ni  kitu  kinachonitatiza....Utakuta  dada  ni  mzuri....  nikiwa  na  maana  kwamba  ni  kifaa, lakini  naye  Kauvuta  mdomo, pembeni  kidogo  kaupanua ,alafu kaunyonga....Nadhani  kuna  maana  flani  iliyojificha
Nimeileta  maada  hii  nikiwa  na  imani  kuwa  wasomaji  wenzangu   hasa  akina  dada watanipanua  kimawazo  na  kunijuza  zaidi....

Mdau  wenu,
Mwanza.

No comments:

Post a Comment